Thursday, April 18, 2013

CCM ULIVYOTIKISA MOROGORO

 

 

1. KINANA AKIHUTUBIA GAIRO JIONI HII 71472

 

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana  akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara jioni hii kwenye uwanja wa shule ya msingi Gairo B, Gairo, mkoani Morogoro.

 

 

 

2.NAPE AKIHUTUBIA e7530

 

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye  akihutubia mkutano wa hadhara wa CCM kwenye  uwanja a shule ya Msingi Gairo B, mjini Gairo mkoani Morogoro jioni hii. Chanzo: Bashir Nkoromo

 

 

No comments: