Thursday, June 6, 2013

HUZUNI NYINGINE MZIKI WA BONGO; MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA



                                      Khadija Omar Kopa akiwa na mumewe Jaffari Ally enzi za uhai wake.

              Mume wa Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Omar Kopa, aitwaye Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.    Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya Bagamoyo.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.

No comments: