amesema,: Ni upuuzi na wendawazimu kwa Chama kinachotwala nchi kutoa maneno kama anayoyasema Nape eti mtu ajitupie bomu mwenyewe tena kwenye mkutano wenye watu wa kila aina ya kabila, dini na status mbalimbali. Tuna ushahidi wa video wa aliyelipua Bomu. Tunamjua, tunajua jina lake, tunajua kifaa alichotumia, na alikokificha, tuna ushahidi wa kutosha na ni ushahidi utakaoshangaza dunia.Ni swala la muda tu. Tunashangaa kwanini polisi hawajatuhoji sisi walengwa"Akihojiwa na Sauti Amerika"
No comments:
Post a Comment