Akizungumza
na waandish wa habari jijini dare s salaam moja kati ya waasisi wa chama hicho
bw BW ALECK CHEMPONDA amesema kuwa uwepo wa serikali tatu utaongeza wingi wa
mawaziri na viongozi wa serikali ambao kwa kiasi kikubwa utachangia matumizi
mabaya ya rasilimali ya serikali ikiwemo mishahara yao.
Aidha amesema
ni muda sasa wa mabaraza ya katiba kkukaa na kujadili rasimu hiyo kiundani ili Tanzania
iweze kupata katiba imara na sio kuweka ushabiki wakati huu
Katika hatua
nyingine kiongozi huyo amekanusha uvumi uliokuwa unaenea kwenye vyombo vya
habari kuwa chama hicho kimefutwa katika orodha ya vyama vya siasa na kusema
sio kweli kwani chama hicho kipo imara na kinajiandaa na chaguzi zijazo
BW CHE MPONDA AMBAYE NI MUASISI PIA WA CHAMA HICHO |
No comments:
Post a Comment