Saturday, January 18, 2014

TANGAZO KWA WABUNGE WOTE TANZANIA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
images
WITO KWA WAHESHIMIWA WABUNGE WOTE
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wafike Jijini Dar es Salaam Jumapili tarehe 26 Januari 2014 kwa ajili ya shughuli za Kamati za Bunge zitakazoanza tarehe 27 Januari 2014 hadi tarehe 8 Februari 2014. Moja ya shughuli hizo ni pamoja na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
Imetolewa na
Ofisi ya Bunge,
Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na
Uhusiano wa Kimataifa
Dar es Salaam
17 Januari 2014.

No comments: