Wednesday, February 5, 2014

KUIONA YANGA NA WAKOMORO JUMAMOSI ELFU TANO TUU

MSEMAJI WA YANGA BARAKA KIZUGUTI AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
          
        Timu ya yanga ya dar es salaam leo imetamba kumuua minzani wake katika mashindano ya club bingwa ya Africa ambapo siku ya jumamosi yanga itakutana uso kwa uso na timu kutoka  visiwa vya commoro,
        Yanga itaanza kampeni zake katika michuano ya kimataifa kwa kucheza na timi ya Comoro zin kutoka commoro katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam siku ya jumamosi ya wiki hii,ambapo yanga ikishinda itakutana  AL AHAL ya misri,
        Akizungumza na wananahabari jijini dar es salaam leo msemaji wa yanga BARAKA KIZUGUTO amesema kuwa yanga imejipamhga kikamilifu kuhakikisha inaibuka mshindi katika mchezo huo muhimi
        Akitaja viingilio amesema kuwa kiingilio cha juu katika mchezo huo ni shilingi 30000 na cha chini kitakuwa elfu tamo tuu hivyo ameomba watanzania wote kujitokeza kuipa sapot timu ya yanga kwani inawakilisha nchi

No comments: