Thursday, July 17, 2014

samahani kwa picha zinazosikitisha kidogo--LORI LA MIZIGO LAGONGA KILABU CHA POMBE NA KUUA WATU WATANO PAPO HAPO

 Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea
  Miili minne ya Marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
 Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyo uwa wata watano papo hapo.
 Hivi ndivyo Lori hilo la Mizigo lilivyo umia vibaya baada ya kugonga kirabu hicho na kukisambalatisha usiku wa kuamkia jana na kusababisha vifo vya watu watano papo hapo.
 Baadhi ya Ndugu wa Marehemu wakipata taarifa za Ajali hiyo katika eneo la tukio isimila
Ndugu wa Marehemu wakiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa kwa ajili ya kuwaona Marehem hao.

No comments: