Sunday, July 20, 2014

TAARIFA KUTOKA BENKI KUU YA TANZANIA




Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha habari zinazosambazwa kwenye mitandao kuwa kesho Jumatatu Benki ya FBME itafungwa na shughuli zote za benki hiyo zitakuwa chini ya Benki Kuu.

Habari hizi si za kweli na kwamba benki hiyo haipo chini ya usimamizi wa Benki Kuu na itaendelea kutoa huduma kama kawaida.

IMETOLEWA NA

 IDARA YA UHUSIANO NA ITIFAKI, BENKI KUU YA TANZANIA.

No comments: