Tuesday, July 8, 2014

ZIARA YA MKE WA MFALME MSWATI ZANZIBAR

DSC_0075
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula kulia  akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo kuhusu Mmea wa Mchaichai na faida zake wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.
DSC_0078
Mmea wa Mmanjano kama Unavyoonekana ambao ni miongoni mwa mimea yenye faida kubwa ambao hupatikana sehemu ya Kizimbani Zanzibar.
DSC_0084 
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula akishika Mmea wa Mvuje na kupata maelezo yake kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.
DSC_0142
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula akipata maelezo kutoka kwa Mtembezi wa Watalii Shaaban Ali Hassan kuhusiana na Kima Punju alipotembelea katika maeneo ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.

No comments: