MABINGWA watetezi
wa ligi kuu soka nchini England, Manchester City wameanza vyema kampeni
za kutetea taji lao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 ugenini
dhidi ya Newcastle United katika dimba la St. James Park.
LIVERPOOL imeanza
vizuri maisha mapya ya ligi kuu soka nchini England bila ya Luis Suarez
kwa kuifunga Southampton mabao 2-1 ndani ya dimba la Anfield jioni hii.
Majogoo wa jiji
ndio walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 23
kupitia kwa kinda wake, Raheem Sterling kabla ya Nathaniel Clyne
kuisawazishia Sounthampton katika dakika ya 56 kipindi cha pili.
No comments:
Post a Comment