Meneja wa Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya katika nyuso ya furaha pale kampuni hiyo ya simu ilipoibuka mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Lindi.SAMAHANI KWA PICHA ZENYE UBORA USIORIDHISHA |
No comments:
Post a Comment