Thursday, November 20, 2014

WAZIRI MKUU BUNGENI LEO

PG4A0561
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akiteta na Mbunge wa Urambo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta, Bungeni Mjini Dodoma Novemba 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0532
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Baadhi ya wabuge na Mawaziri, Bungeni mjini Dodoma Novemba 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: