Wednesday, December 3, 2014

HABARI NJEMA KWA VIJANA WOTE WA CCM TANZANIA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWaFwbo12uNipQs5a1g0b26G6uTWkMZ9MooXD0Mw8UBbTHdNB2_9Le77IRGghhWbMjElTfrAezVwOPNnrODJ4ySVBa6am_k_dvIpkryGxKKXYgnlREtKV5QRVudZDRVx2mcINPF-9v2LE/s1600/MMGM1359.jpg
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (kushoto) akipokea Kadi Maalum ya pongezi kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni ya UVCCM,Zainab Katimba.
 Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRONcG28i_GuP2vbKn-93SEiWzWFLC3BWEymYXAwwRT3ax6tbIZeq5XKAUHanDugWtK51VKtFTZoHO-wIcdN5xTrvhDUj39qIlM9-OI43PZVf2PQp3ViIbHqcAwjepfH56MvAhntZ43Ms/s1600/MMGM1318.jpg
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5Y3FYEJRJcRt5-AMObcwzJ540fPOKhVJJkkM-L8DfSNqdazP9jk1ryRDvnvQP1jjRTMB4MykbKaBlM7u8fKkrAugM0o7JsHl6I5qoCwHUEQItPqPAx1fXR88u-zj-j8kuqevEvp5J6fM/s1600/MMGM1313.jpgKushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa UVCC - Bara,Mfaume Kizigo na Kulia ni Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni ya UVCCM,Zainab Katimba

No comments: