Mkurugenzi
wa Tigo Kanda ya Kaskazini Bw. David Charles (mwenye miwani kichwani)
akiongoza wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Tigo kutoa msaada kwa
wagonjwa wa Hospitali ya Tengeru kwenye siku ya Wapendanao mwishoni mwa
wiki Mkoani Arusha.
Wafanyakazi
wa Kampuni ya Tigo Kanda ya Kaskazini wakiwa kwenye picha ya pamoja na
vifaa mbalimbali walivyotoa kwenye Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha
mwishoni mwa wiki, ikiwa ni sehemu ya mchango wao kwa wagonjwa siku ya
Wapendanao(Valentine Day).
Mkuu
wa Huduma Kwa Wateja wa Tigo Mkoani Arusha Bi. Lidya Sakaya akikabidhi
msaada kwa mgonjwa Bi. Felister Paul ikiwa ni sehemu ya msaada
uliyotolewa na Kampuni ya Tigo siku ya Wapendanao (Valentine Day) kwenye
Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha mwishoni mwa wiki.
Meneja
wa Uwajibikaji kwa Jamii wa Tigo Bi.Woinde Shisael akikabidhi msaada
kwa mgonjwa Bi.Elizabeth Swai ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na
Kampuni ya Tigo siku ya Wapendanao (Valentine Day) kwenye Hospitali ya
Tengeru Mkoani Arusha mwishoni mwa wiki. Mfanyakazi
wa Kampuni ya Tigo kutoka Moshi Bw. Abubakar Rashid akikabidhi msaada
kwa mgonjwa Bi. Grace Fanuel ikiwa ni sehemu ya msaada uliyotolewa na
Tigo siku ya Wapendanao (Valentine Day) kwenye Hospitali ya Tengeru
Mkoani Arusha mwishoni mwa wiki.Wafanyakazi
wa Kampuni ya Tigo Kanda ya Kaskazini wakiwa kwenye picha ya pamoja na
vifaa mbalimbali walivyotoa kwenye Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha
mwishoni mwa wiki, ikiwa ni sehemu ya mchango wao kwa wagonjwa siku ya
Wapendanao(Valentine Day).
No comments:
Post a Comment