Viongozi wa chama kipya cha
siasa nchini ACT-TANZANIA wakiongozwa na katibu mkuu wa chama hicho SAMSONI
MWIGAMBA leo wamefanya ziara katika ofisi za kampuni ya habari Tanzania FREE
MEDIA wazalishaji wa gazeti la tanzania daima ziara iliyokuwa na lengo la
kuendeleza undugu na baadhi ya vyombo vya habari nchini Tanzania.
Kumekuwa na desturi sasa ya vyama vya siasa kufanya ziara katika vyombo vya
habari ambapo imeshghudiwa pia katibu mkuu wa chama cha mapnduzi CCM NAPE
NNAUYE akifanya ziara kama hiyo katika media mbalimbali za tanzania
Picha za ziara hiyo ziko hapa
|
No comments:
Post a Comment