Saturday, March 21, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LA KIGANGO CHA MT. DOMINIC SAVIO TEMEKE MIKOROSHINI, DAR ES SALAAM.

1S
2S 3S 4S 5S 6S 7a
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimina na kumpongeza, msanii aliyechora picha yake, Florian Ludovic, wakati wa hafla fupi ya matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Kigango cha Mt. Dominic Savio, lililopo Temeke Mikoroshini. Picha hiyo iliuzwa kwa mnada kiasi cha Sh. Milioni 2.5. Picha na OMR

8S
9S 10S
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kanisa hilo na wanakamati wa uchangiaji wa ujenzi huo. Picha na OMR

No comments: