Sunday, April 12, 2015

PICHA--ZITTO ATIKISA IRINGA MJINI.


Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo Zitto Kabwe akiwahutubia wakazi wa mji wa Iringa na Vitongoji vyake jana, ambapo ameibua ufisadi wa Sh.54 Trillioni kwenye ujenzi wa bandari ya Mwambani Mkoani Tanga. Picha na Mpigapicha Wetu. 
Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo Zitto Kabwe, akisalimiana na vijana wa Mafinga, Mkoani Iringa jana mara baada ya mkutano wa hadhara kwenye ziara ya chama hicho inaoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini.

No comments: