Saturday, July 11, 2015

CCM WAWINDANA WENYEWE KWA WENYEWE DODOMA,TIZAMA HIZO

DSC_2734
Kikao cha Halmashauri Kuu kimeendelea sasa hivi kwa zaidi ya saa nne hapa Makao Makuu ya CCM Dodoma, viko vitu vingi  vinaendelea nje ya Ukumbi… wapo wanaoimba na kushangilia, wengine wapo wakiendelea kusubiri kile kitakachotangazwa baada ya Halmashauri Kuu kumaliza Kikao.
Watu ni wengi sana nje ya Ukumbi, nimebahatika kukutana na wenyeji wa Mji wa Dodoma na watu ambao wanafanya shughuli zao kwenye Majengo yanayozunguka Makao Makuu hayo, wanasema haikuwahi kutokea mtaa huu ukawa busy watu wakawa wengi kiasi hiki.
PICHA ZOTE KUTOKA KWA MILAD AYYO.COM

DSC_2702
Hapa ni nje ya Ukumbi ambao Kikao kinaendelea.
DSC_2739
Baadhi ya Wajumbe wakiwa nje ya Ukumbi.
DSC_2741
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa nje ya Ukumbi pia.
DSC_2751
DSC_2760
DSC_2762
Waziri Lukuvi akitembea kuelekea Ukumbini.
DSC_2770
.
Hawa ilikuwa bahati mbaya wakapata ajali jirani na gari la Polisi.
DSC_2782
Huyu alionekana kwenye vurugu nje ya Ukumbi, Polisi wakamchukua.
DSC_2785
Gari nyingi za Polisi na FFU zimezunguka Ukumbi kuhakikisha Usalama upo wakati wote.
DSC_2798
Wanaoshangilia hawajachagua pa kukaa, ni mchana jua kali lakini wapo hapa wakati wote.
DSC_2806
Kila mtu kaaangalia panapomfaa, wengine wako juu ya ukuta.
DSC_2814
Akina mama na wadada nao hawajaogopa kusimama juu ya ukuta.
DSC_2819
DSC_2829 DSC_2831 DSC_2834 DSC_2837 DSC_2841 DSC_2856 DSC_2859 DSC_2861
Ripoti zote toka DODOMA utaendelea kuzipata hapahapa mtu wa nguvu,

No comments: