Sunday, July 19, 2015

MAGUFULI KWENYE UBORA WAKE GEITA LEO,NI HISTORIA

Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Wanaccm na Wananchi wa Mkoa wa Geita, Wakati aliposimama kuwasalimia akitokea jijini Mwanza kuelekea Kijijini kwake Chato. Hapa ni Kivukoni Busisi Mkoani hapo, mapema asubuhi ya leo.
Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya Wanaccm na Wananchi wa Mkoa wa Geita, mara baada ya kuwasili mapema leo asubuhi.
Umati wa WanaCCM na Wananchi wa Mkoa wa Geita wakimshangilia Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiwahutubia.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Msukuma akionekana ni mwenye furaha sana.

Mke wa Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Janet Magufuli akiwasalia maelfu wa Wanaccm pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Geita, leo.
Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu wa Wanaccm pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Geita, leo.
Msafara wa Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli ukiwasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Geita. PICHA ZOTE NA MICHUZIJR

No comments: