Wednesday, July 15, 2015

MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS.

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma kadi yake ya kumpongeza kwa uteuzi baada ya kukabidhiwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi  Salula (kushoto)  wakati wa mkutano maalum wa kuwashukuru wafanyakazi wenzake uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, wakati alipokuwa akipokelewa alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakiteta jambo kwa furaha wakati wa mkutano huo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, akizungumza kabla ya kumkaribisha Wziri Samia, kuzungumza.
 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, akizungumza kabla ya kumkaribisha Wziri Samia, kuzungumza.
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vitengo wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa NIMR
Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya aMakamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 

No comments: