Friday, July 17, 2015

WEMA SEPETU,STEVE NYERERE,NA MZEE YUSSUF WAANZA SAFARI YA DODOMA

91219322-8c16-4c28-a9f8-e86e4f07a480
Mastaa wa Bongo,Wema Sepetu,Steve Nyerere na mwimbaji wa taarab kutoka kundi la Jahazi,Mzee Yusuf kwa nyakati tofauti wamechukua fomu za kugombea ubunge kupitia chama cha Mapinduzi(CCM).

wema1
Wema akiwa na wapambe wake wameelekea mkoani Singida ambapo amechukua fomu kugombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia viti maalum.
mzee yusuf
Steve Nyerere yeye amechukua fomu mapema leo kwenye ofisi za CCM,Kinondoni Kata ya Mkwajuni akigombea jimbo hilo la Kinondoni.
IMG_0345 (1)
Mzee Yussuf amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Fuoni visiwani Zanzibar.
steve
steve1
steve2
Wapambe wa Steve Nyerere wasanii wa Bongo Movie

No comments: