Friday, October 23, 2015

LOWASA NA PROFESA JAY WAITIKISA MORO LEO,HAPA KUNA KILA KITU


Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015 


Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Kulia) akiambiwa jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi Morogoro baada ya kuwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015



Mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule akimueleza matatizo ya Mikumi Mhe. Edward Ngoyai Lowassa katika viwanja vya Tem k2,leo Ijumaa 23 Oktoba 2015




KILINDI SASA
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiwasili katika uwanja wa Kwediboma Kilindi kwa ajili ya mkutano wa kampeni,jana Alhamisi 22/10/2015
 




No comments: