MWENYEKITI WA CCM DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU CCM JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete aongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM jijini Dar es salaam ambacho kimehudhuriwa kwa mara ya kwanza na Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
No comments:
Post a Comment