Tuesday, January 26, 2016

MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA KATIKA KIKAO CHA BUNGE MJINI DODOMA LEO

bu1
 Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia)  akimwapisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa  , bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
bu2
Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia)  akimwapisha Waziri wa  Fedha na Mipango, Dkt.Philip Mpango, bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu3
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu4
Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama  akijibu swali Bungeni Mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu5
Wabunge wakisikiliza hoja mbalimbali bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu6bu7
Baadhi ya Mawaziri wa wizara mbalimbali wakisikiliza maswali na majibu Bengeni leo.
bu8
Profesa Sospeter Muhongo Waziri wa Nishati na Madini kulia na Dk Philip Mpango Waziri wa Fedha na Mipango wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea bungeni leo.
bu9
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde  akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu10
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu11
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitoa hoja ya kutaka Bunge lijadili  Hotuba ya Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati alipofungua Bunge la Kumi na Moja Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bu12
Mbunge wa Mvomero, Murad Sadiq akichangia  bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: