Monday, April 4, 2016

MBATIA MBUNGE HALALI WA VUNJO,KESI YAKE NA MREMA YAMALIZIKA

Kesi ya mrema na mbatia wafikia muafaka yaondolewa mahakamani mbatia kuendela kupeta na ubunge wake walazimika kulipa milioni 40 kila mmoja baada ya maridhiano yao wawili wananchi wambeba mbatia juu juu

No comments: