Tuesday, April 12, 2016

WASHTAKIWA WA TUMBILI WASOTEA DHAMANA.



Baadhi ya Washtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi ya usafirishaji wa
wanyama Hai 61 aina ya Tumbili wakiongozwa na asakari Polisi walipokuwa
wakiwasili katika mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Moshi.Washtakiwa katika kesi ya kusafirisha Tumbili raia wa Uholanzi ,Artem
Vardanian na ndugu yake Eduard Vardanyan wakisindikizwa na askari Polisi
kuingia mahakamani,Nyuma yao ni mshtakiwa mwingine Idd Misanya
Washtakiwa katika kesi ya kusafirisha Tumbili raia wa Uholanzi ,Artem
Vardanian na ndugu yake Eduard Vardanyan wakiwa katika viunga vya mahakama kuu kanda ya Moshi ,kulia ni aliyekua Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori Dkt Charles Mulokozi.
Washtakiwa katika kesi ya kusafirisha Tumbili wakiwa katika mahabusu ya
mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi, kutoka kulia ni Eduard Vardanyan ,ArtemVardanian na Idd Misanya.
Watuhumiwa katika kesi ya kusafirisha Tumbili wakiwa katika mahabusu ya
mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi, wakizungumza jambo na wakili
Majura Magafu anyewatetea katika shauri hilo.kutoka kulia aliyeshika
nondo ni aliyekua Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Wanamapori Dkt Charles
Mulokozi, mfanyabiashara raia wa Uholanzi Artem Vardanian na ndugu yake
Eduard Vadanyan.

No comments: