Sunday, May 22, 2016

MSAADA ---EWE MTANZANIA GUSWA NA TATIZO LA DADA YETU MWANACHUO BENADETHA MSIGWA


Mwanafunzi Benadetha Msigwa amepata upofu akiwa chuo, hivyo anapmba msaada pesa ili akatibiwe macho na kuweza kurudi katika hali yake, inahitaji kama milion 30 kwa yeyote atakaeguswa anaweza tuma chochote kupitia namba hizo hapo kwenye hicho kipeperushi.

No comments: