Sunday, May 22, 2016

NHIF TANGA YAWAPIGA MSASA WARATIBU WA CHF MKOA WA TANGA.


MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akisisitiza jambo wakati wa semina ya waratibu wa CHF mkoa mzima wa Tanga ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo

Mratibu wa GIZ Mkoa wa Tanga,Apolinary Primus Rutakuburwa ambao wanasapoti huduma za afya na matibabu kulia akisisitiza jambo wakati wa semina hiyo kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akifuatilia kwa umakini

Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga,Miraji Msile akiwaelekeza jambo waratibu wa CHF wakati wa semina ya waratibu wa CHF mkoa mzima wa Tanga ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo

Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga wakiongozwa na Dr.Sana kulia wakifuatilia semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo.

Mratibu wa CHF Mkoa wa Tanga,Apolinary Primus Rutakuburwa kulia akisisitiza  jambo kwa waratibu wa CHF mkoa wa Tangawakati wa semina iliyokuwa na lengo la kuwajengea uwezo.
 
Waratibu wa CHF Mkoa wa Tanga wakinakili maelezo kutoka kwa Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu wakati wa semina iliyokuwa na lengo la kuwajengea uwezo waratibu wa mkoa mzima




No comments: