Friday, June 17, 2016

ACT YAKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA KIJAMAA CHA UJERUMANI CHA DIE LINKE

Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo,Zitto Kabwe akifafanua jambo kwa wageni wake kutoka chama cha kijamaa cha Die Link kutoka nchini ujerumani ujumbe wa chama hicho hapa nchini umeongozwa na Dk Dagmar Enkelman ambaye ni mbunge wa zamani wa ujerumani(picha kwa hisani ya ACT wazalendo)

No comments: