Wednesday, June 8, 2016

TIGO YAMPONGEZA CHRISTIAN BELLA KUTIMIZA MIAKA 10 KATIKA TASNIA YA MUZIKI




Meneja Chapa wa Tigo Wiliam Mpinga akiongea na waandishi (Hawapo pichani )kuhusu udhamini wa Tigo kwenye tamasha la kutimiza miaka 10 ya Christian Bella zilizofanyika mapema mwisho wa wiki iliyopita katika viwanja vya Escape One kushoto kwake ni Mwimbaji wa mahiri wa dansi nchini Christian Bella .
Msanii wa muziki wa dansi, Christian Bella (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sherehe ya kutimiza miaka kumi katika tasnia ya muziki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita , kushoto kwake ni William Mpinga Meneja Chapa wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo ambao ndio wadhamini wa tamasha hilo.
Meneja Chapa wa Tigo Wiliam Mpinga akimkabidhi simu aina ya Iphone 6 Msanii Christian Bella ikiwa ni  kumpongeza kwa kutimiza miaka 10 katika tasnia ya muziki  mapema mwisho wa wiki iliyopita  ambapo tigo pia walidhamini tamasha hilo 

No comments: