MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa leo imemuhukumu kwenda jela miaka 15 kwa kosa la mauaji ya bila kukusudia askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573 Pacificius Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten Daudi Mwangosi
No comments:
Post a Comment