Monday, August 8, 2016

Tigo yafana katika maonesho ya Nanenane Mwanza

Wakazi wa mkoa wa Mwanza wakiwa kwenye banda la tigo katika viwanja vya nanenane Nyamhongoro

Mtaalam wa huduma kwa wateja wa tigo Mussa Timoth,akiwapa maelezo ya simu wateja waliofika kwenye banda la Nanenane Nyamhongoro Mkoani Mwanza.

Meneja wa Masoko wa Kanda ya Ziwa wa Tigo Ali Mashauri,akimpatia zawadi ya kanga makazia wa Kishiri jijini Mwanza Grace Sweetbert kwenye viwanja vya Nanenane Nyamhongoro baada ya kununua simu an kushinda zawadi.

Meneja wa Masoko wa Kanda ya Ziwa wa Tigo Ali Mashauri,akimpatia zawadi ya kanga makazia wa Ilemela Mwanza Lailat Komba kwenye viwanja vya Nanenane Nyamhongoro baada ya kununua simu an kushinda zawadi.
Wateja wa simu wakiziangalia wakati wakinunua kwenye banda la Tigo la maonyesho ya Nanenane eneo ma Nyamhongoro.

Wakazi wa mkoa wa Mwanza wakiwa kwenye banda la tigo katika viwanja vya nanenane Nyamhongoro

No comments: