Tuesday, September 6, 2016

Exclusive Video--ZITTO KABWE amfungulia Milango Lipumba,Akana habari za Jana lakini------------

Baada ya story myingi za jana zikimuhusisha Aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Mh LIPUMBA IBRAHIM kujiunga na ACT WAZALENDO hatimaye leo Kiongozi mkuu wa ACT WAZALENDO Mh ZITTO KABWE ameamua kufunguka juu ya sakata hilo huku akikana vikali habari hizo lakini akitanabaisha kuwa chama chake kinampokea mtu yeyote mwenye vigezo vya chama hicho.Nimekuwekea Video wakati alipoulizwa na wanahabari leo Juu ya Habari za Lipumba Kujiunga na chama chao  

No comments: