Thursday, September 8, 2016

Tizama--Msafara wa Shindano la “SHINDA GARI NA WHITEDENT” ulivyokuwa Mikoani.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa Kigoma wakiangalia moja ya gari kati ya magari 25  yanayoshindaniwa  katika shindano la shinda gari na Whitedent linaloendeshwa na kampuni ya kutengeneza dawa ya meno ya Chemi cotex linaloendelea hivi sasa nchini ili kuadhimisha miaka 25 ya kampuni hiyo.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma wakiwa katika foleni ya kwenda kujisajili kwenye droo ya bahati nasibu ya shinda gari na Whitedent linaloendeshwa na kampuni ya kutengeneza dawa ya meno ya  Chemi cotex linaloendelea hivi sasa nchini ili kuadhimisha miaka 25 ya kampuni hiyo.

Wakazi wa Bariadi, Mwanza wakishuhudia moja ya magari yatakayotolewa kwa mshindi wa shindano la Whitedent, katika msafara wa magari hayo unaozunguka nchi nzima, ikiwa ni sehemu ya kusheherekea  miaka 25 ya bidhaa hiyo tangu kuanzishwa.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Singida wakijisajili kwenye droo ya bahati nasibu ya shinda gari na Whitedent linaloendeshwa na kampuni ya kutengeneza dawa ya meno ya  Chemi cotex linaloendelea hivi sasa nchini ili kuadhimisha miaka 25 ya kampuni hiyo

No comments: