Monday, September 5, 2016

TIZAMA PICHA CHADEMA WALIVYOKINUKISHA MAHAKAMANI SIMIYU,WAFUASI WAKE WAPEWA DHAMANA WOTE


Chadema imeibwaga serikali mahakamani baada ya mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Simiyu kuzitupilia mbali hoja za upande wa mashitaka za kuzuia dhamana kwa viongozi na wanachama wa Chadema wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi.


Pia polisi walizuia msafara wa Mbowe wakati ukitoka mahakamani kwa muda wa Dk 45.Wote wamepatiwa dhamana.Tazama picha hapa kutoka kwa mwandishi wetu aliyeko Simiyu,Samwel Mwanga kilichojiri 






Seebait.com 2016

No comments: