Friday, October 21, 2016

Ukiwa umetumia kilevi kifaa hiki kitafanya gari yako isiwake..Tizama NAIBU WAZIRI MASAUNI AZINDUA KITUO KINACHOTOA HUDUMA ZA MAGARI

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), Katibu wa baraza hilo ambae pia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya maatairi ya Superdoll, Seif Seif (kulia) wakikata utepe jana kuashiria uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi kilichopo maeneo ya Magomeni Usalama, Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Add captionMwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(wapili kulia), Katibu wa baraza hilo ambae pia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga(kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya matairi ya Superdoll, Seif Seif(wapili kushoto), wakimsikiliza Msimamizi wa Kituo   baada ya uzinduzi wa kituo kinachotoa huduma za magari upande wa matairi, Paul Kusoga wakati akitoa maelezo ya jinsi ya kulichunguza tairi kutumia mfumo wa komputa.Uzinduzi huo ulifanyika jana  Magomeni Usalama, Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipuliza kifaa maalumu kilichopo ndani ya gari  ambacho ikiwa dereva ametumia kilevi gari hiyo haiwezi kuwaka, baada ya  uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi. Uzinduzi huo ulifanyika jana  Magomeni Usalama, Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi.Kituo hicho kinamilikiwa na Kampuni ya matairi ya Superdoll. Uzinduzi huo ulifanyika jana  Magomeni Usalama, Dar es Salaam.( Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Katibu  wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni  Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi.Kituo hicho kinamilikiwa na Kampuni ya matairi ya Superdoll. Uzinduzi huo ulifanyika jana  Magomeni Usalama, Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya matairi ya Superdoll, Seif Seif, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi. Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es Salaam.( Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Wageni waalikwa wakibadilishana mawazo wakati wa hafla ya uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi. Uzinduzi huo ulifanyika jana  Magomeni Usalama, Dar es Salaam.(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)

No comments: