Jana
ni siku ambayo Mchungaji wa kanisa la Ufufuo na uzima Josephat Gwajima
aliachiwa kutoka polisi alikokuwa ameshikiliwa kwa Tuhuma za kujihusisha na
madawa ya kulevya nchini,Baada ya uchgunguzi kubaini hausiki jana ameruhusiwa
Kutoka polisi ambapo aliahidi kuwa leo angetoa neon katika ibada yake kaniswani
Ubungo,
Mwandhishi
wa mtandao huu amepita meneo ya kanisani na kufanikiwa kunasa baada ya maneno
ya mchungaji huyo kuhusu sakata hilo,Fwatilia baadhi ya sentensi zake hapa
1.
Kuanzia
sasa Mapepo yote yakitolewa kwa watu yaelekezeni kwa aduoi wa kanisa nchini.
2.
Mkuu
wa mkoa wa Dar es salaam mh Paul Makonda hapambani na madawa ya kulevya bali
anapambana na majina ya watu ili kuyachafua bla sababu.
3.
Namuomba
Rais wa Tanzania atende haki katika hili,kuna polisi wamesingiziwa wako ardhini
hawana pa kusemea.
4.
Vita
ya madawa iendelee ila ibadili Aproaching yake lakini pia watu wa Yanga
wasikubali yanayomkumba mwenyekiti wao
5.
Watu
wa Ufufuo na uzima pia msikubali yanayonikuta mimi
6.
Makonda
ni kombora ambalo halijajua litatua popote
7.
Anayemtukana
mjomba siku moja atakuja kumtukana Mama mzazi
8.Gwajima, atujawahi kuchokoza mtu bali, tumeanza kuchokozwa..
9.Msilaum utendaji wa ofisi ya rais na wala jeshi la polisi...
mi ni daktari kwa falsafa, na pia mwandishi wa vitabu. Mi sio kama wale....
10 Kumshitaki makonda mahakani ni kuishtaki serikali, mi nitakachofanya ni kumshitaki kwa aliyemteua..
8.Gwajima, atujawahi kuchokoza mtu bali, tumeanza kuchokozwa..
9.Msilaum utendaji wa ofisi ya rais na wala jeshi la polisi...
mi ni daktari kwa falsafa, na pia mwandishi wa vitabu. Mi sio kama wale....
10 Kumshitaki makonda mahakani ni kuishtaki serikali, mi nitakachofanya ni kumshitaki kwa aliyemteua..
No comments:
Post a Comment