Thursday, February 16, 2017

MPYA--MCHEZAJI WA YANGA NA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA



Mchezaji wa zamani wa Timu yanga na Taifa Stars Godfrey Bony amefariki Dunia kutokana na maradhi yaliyomsumbua kwa Muda Mrefu Mkoani Mbeya akilokuwa anafanyiwa matibabu.

Bony Taarifa za mwisho ambazo Mtandao Huu ulizipata alikuwa anasumbuliwa na Ugonjwa ambao Ulikuwa haujatambulika lakini Taarifa nyingine za watu wake wa Karibu zilieleza kuwa alikuwa anasumbuliwa na TB ugonjwa ambao ulimfanya kulazwa Hospitali ya Rungwe akiwa hawezi kufanya chochote hadi hapo Kifo chake kilipomfika.

Godfrey Bony enzi za uhai wake amewahi kuzichezea kwa mafanikio makubwa Timu za ,Yanga, Tanzania Prisons na Taifa Stars.

Taarifa zaidi zitakujia Hapa hapa 

No comments: