Sunday, February 12, 2017

RAIS MAGUFULI AKERWA NA WAFUASI WA ASKOFU GWAJIMA KUIMBA MAPAMBIO POLISI

Inaonyesha kila kinachoendelea huwa kinamfikia Rais Magufuli ambapo leo kwenye hotuba yake IKULU Dar es salaam ameongea kuhusu wale Mashabiki wa Yanga walioonekana kulifutafuta vumbi gari la Mfanyabiashara Yusuph Manji baada ya kuingia kuhojiwa Polisi kwenye sakata la dawa za kulevya.
Pamoja na hilo, rais  pia ameongelea ishu ya Wanakwaya wa Askofu Gwajima kwenda na kusimama nje ya kituo cha kati cha Polisi baada ya Askofu huyo kuingia kuhojiwa na Polisi kwenye sakata la dawa za kulevya. 
==> Msikilize hapo chii akiongea




BONYEZA LINK ZA CHINI UONE MAMBO MATAMU 


VIDEO-KAULI YA DEUS KIBAMBA WA JUKATA KUHUSU KAMATA KAMATA YA WANAOKOSOA SERIKALI






No comments: