Saturday, August 12, 2017

KILELE CHA NANE NANE BANDA LA TIGO -NGONGO LINDI


Baadhi ya wananchii wakiwa wamezunguka Banda la Tigo wakipata Huduma Mbalimbalia katika maonesho ya kilimo ya Nane nane yaliyopo Ngongo Mkoa wa Lindi.

Meneja wa kanda ya Kusini wa Kampuni ya Tigo  Uthman Madata akigawa Kofia Katika Banda la Tigo katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo ya Ngongo Mkoani Lindi

Meneja wa kanda ya Kusini wa kampuni ya mtandao wa  Tigo Uthman Madata akimuonesha Simu ya Mkononi Aina ya Tekno S1 Mwanafunzi wa Sekondari ya Lindi Charles Shirima katika maonesho ya Kilimo ya Nanenane  yaliyofanyika Mkoani Lindi.

.Meneja wa kanda ya Kusini kampuni ya mtandao wa Tigo akiongea na baadhi ya wateja wa Tigo waliofika kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali katika maonesho ya kilimo ya Nanenane

.Meneja wa kanda ya Kusini kampuni ya mtandao wa Tigo akiongea na baadhi ya wateja wa Tigo waliofika kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali katika maonesho ya kilimo ya Nanenane

No comments: