Monday, September 24, 2012

CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

Mjumbe wa Almashauri kuu na kamati kuu ya CCM captain Abdulharaman kianana amejiuzulu nafasi zota alizonazo ndani ya CCM kwa madai ya kuachana na siasa uchwara.

Kinana amekuwa mjumbe wa NEC kwa zaidi ya miaka 22 pia amewahi kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa.

Jumatano ndio mambo yote, baada ya NEC huenda viongozi wengi wa CCM wakahamia upinzani.

No comments: