Showing posts with label HABARI24 TV. Show all posts
Showing posts with label HABARI24 TV. Show all posts

Thursday, March 29, 2018

WARAMI - MAASKOFU MSIKUBALI KUTUMIWA NA WANASIASA

Mkurugenzi wa Taasisi ya Watetezi wa Rasirimali Wasio na Mipaka(WARAMI) Bw. Philipo  Mwakibinga akitoa ufafanuzi wa jambo fulani mbele ya waandishi wa habari ambao hawapo pichani mapema leo jijini Dar es salaam.

Mkutano ukiendelea.
                                    ANGALIA VIDEO HII KUJIONEA MENGI ZAIDI...
                      

Monday, March 19, 2018

VANESSA MDEE AKIZICHAMBUA KAMA KARANGA OFA ZA VODACOM

             


                      ANGALIA VIDEO HII KUONA ALIYOYAONGEA VANESSA..
                      

Friday, March 9, 2018

LHRC WAIJIBU TUME YA UCHAGUZI KWA TUHUMA WALIZOZITOA DHIDI YAO

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Naemi Silayo akijibu shutuma zilizotolewa na tume ya uchaguzi dhidi kituo hicho.
                   ANGALIA VIDEO HII KUJUA MENGI KUHUSU SAKATA HILO..

                  

Sunday, March 4, 2018

HISTORIA YA UMMY ALIVYOPATA TABU KABLA YA KUWA WAZIRI WA AFYA


Waziri Ummy Mwalimu akifunguka mengi kuhusu historia yake alivyokuwa mdogo mapaka amekuja kuwa Waziri wa Afya.

                         

Tuesday, August 29, 2017

LHRC + LISSU KUWASHA MOTO LEO ANGALIA VIDEO HII...

Kituo cha Sharia na Haki za Binadamu kikishirikiana na Chama
cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) pamoja na mtandao wa haki za binadamu THRDC,
TANLAP na WiLDAF kwa pamoja wameungana kukemea vikali tukio la kuvamiwa na
kulipuliwa kwa mabomu ofisi ya mawakili ya IMMA tukio lililotokea usiku wa
kuamkia tarehe 26 mwezi agosti 2017 jijini Dar es salaam.


Kutokana na kutokea tukio hilo na mengi ya
kujaribu kuuminya uhuru wa wanasheria katika kutimiza majukumu yao kituo cha sharia
na mashirika rafiki wameroa maazimio yafuatayo..



                                                ANGALIA VIDEO HII.. 



                   

Saturday, June 17, 2017

VIDEO - SIKU YA MTOTO WA AFRIKA ACT WAZALENDO WATOA MISAADA KWA KITUO CHA "CHILD...


Siku ya mtoto wa afrika chama cha ACT Wazalendo kimeadhimisha kwa kutoa misaada kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wa kituo cha Child in the Sun kilichopo Mbezi Makabe jijini Dar es salaam. Akiongea kwa niaba ya chama hicho katibu wa kamati ya Maendeleo ya Jamii Taifa ya chama hicho Bi. Edna Sunga. ,,



                                      CLICK HAPA KUJUA ALICHOKIONGEA..
                     

Thursday, June 15, 2017

VIDEO SHEIKH JALALA KUISAIDIA PALESTINA ANGALIA HAPA

kiongozi mkuu wa Shia Ithuasheriya Tanzania Sheikh Hemed Jalala alisema Parestina wanahitaji msaada wa hali na mali kwani sio Waislamu wala Wakristo wanaishi pale kwa amani na furaha hivyo basi inatupasa kupaza sauti zetu kwa pamoja kuwasaidia watu hawa.
Sheikh Mkuu wa Dhehebu La khoja Shia Tanzania Hemedi Jalala akifafanua jambo

 KWA KUELEWA VIZURI STORY ANGALIA VIDEO HII

                      



VIDEO MKUU WA WILAYA YA ILALA SOPHIA MJEMA AWAONGOZA MAMIA YA WANANCHI WA DAR ...

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia Mjema amewaongoza mamia ya Watanzania kuchangia damu. Ameeleza kwa kina faida za kuchangia damu na amewaomba watanzania wote kujitolea kwa wahitaji "damu ni uhai na inatulazimu kufanya hivi ili kuweza kuwasaidia ndugu zetu wenye mahitaji haya" alisema ..        
                             
Mkuu wa wilaya ya Ilala Bi. Sophia Mjema akiongea na waandishi wa habari mapema jana viwanja vya Karume jijini Dar es salaam
      
                                      ANGALIA VIDEO HII KUFAHAMU ZAIDI

                     




Monday, May 22, 2017

VIDEO-LHRC WAWAPA POLISI MBINU ZA KUPAMBANA NA WAUAJI WA KIBITI




Kituo cha sheria na haki za binadamu leo kimetoa tamko kuhusu mauji yaliyopamba moto nchi ambayo yana wahusisha polisi na raia.

Tazama Kaimu Mkurugenzi wa kituo hicho Bi Anna Henga akifafanua video