Tuesday, October 2, 2012

POLISI na FFU KAMA HAWA WANASTAHILI KUWAJIBISHWA AU?

 



    Polisi kama hawa wanastaiki kuwajibishwa au baada ya kufanya kazi yao hiliyo waleta uwanjani wanapiga picha wachezaji ni mapenzi au ukosefu wanidhamu za kazi. Je polisi wa ligi kuu pale Uingereza wanaweza kufanya hivi. Tena hawa ndo wanaoaminika kuwa ni wakari zaidi ya pilisi wanawaita FFU.

source JAMII FORUM

No comments: