Friday, April 12, 2013

BREAKING NEWZZZZ:TCU YAKIFUNGIA CHUO KIKUU KIMOJA


Tume ya vyuo vikuu ( TCU) imetoa tamko la kusimamishwa kwa chuo kilichoanzishwa huko kimara njia ya kwenda Bonyokwa kinachojiita TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY . Tume hiyo imesema haijatoa hithibati kwa chuo hicho hivyo kutakiwa kufungwa na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari ikiambatana na kutoa mabango yanayotangaza chuo hicho.Picha:Zainab ChondoTume ya vyuo vikuu ( TCU) imetoa tamko la kusimamishwa kwa chuo kilichoanzishwa huko kimara njia ya kwenda Bonyokwa kinachojiita TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY . Tume hiyo imesema haijatoa hithibati kwa chuo hicho hivyo kutakiwa kufungwa na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari ikiambatana na kutoa mabango yanayotangaza chuo hicho.<br/><br/>Picha:Zainab Chondo



No comments: