Friday, May 31, 2013

TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) ULIOFANYIKA FEBRUARI 2013 KWA UFUPI.



Taarifa hii imeidhinishwa na Baraza la mitihani la Tanzania katika kikao chake cha 94 kilichofanyika Mei 30.

Idadi ya watahiniwa wa shule waliofanya mtihani: 42,952
Idadi ya watahiniwa wa shule waliofaulu: 40,242 sawa na 93.92%

Mfumo wa kusahihisha mtihani huu ulitumia Fixed Grade Range na Standardization.

Mchanganuo wa madaraja kwa asilimia:
- Division I - 0.76%
- Division II - 12.54%
- Division III - 70.45%
- Division IV - 10.18%
- Division 0 - 6.08%

Shule kumi bora zenye watahiniwa zaidi ya 30.
1. Marian Girls (Pwani
2. Mzumbe (Morogoro)
3. Feza Boys (Dar-es-salaam)
4. Ilboru (Arusha)
5. Kisimiri (Arusha)
6. St. Mary's Mazinde Juu (Tanga)
7. Tabora Girls (Tabora)
8. Igowole (Iringa)
9. Kibaha (Pwani)
10. Kifungilo Girls (Tanga)

Shule kumi za mwisho zenye watahiniwa zaidi ya 30.
1. Pemba Islamic College (Pemba)
2. Mazizini (Unguja)
3. Bariadi (Simiyu)
4. Hamamni (Unguja)
5. Dunga (Unguja)
6. Lumumba (Unguja)
7. Oswald Mang'ombe (Mara)
8. Green Acres (Dar-es-salaam)
9. High View International (Unguja)
10. Mwanakwerekwe "C" (Unguja)


No comments: