Monday, July 1, 2013

POSTA MUDA HUU NOMAA TIZAMA UKILETA UBISHI KIPIGO CHA POLISI

Wazee wako na teja kalinukisha posta pako kimya baadhi ya watu wapo kandokando ya barabara wakisubili msafara wanataka waone magar ya msafara....
 Mda huu ni saa7 kasoro barabara inafagiliwa tena kama unavyomuona huyu jamaa hapa posta ya zamani karibu na bustani he he he chezea ujio wa Obama......

No comments: