KAIMU MENEJA WA MAWASILIANO MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA BI JANETH RUZANGI AKIZUNGUMZA NA WAANDIAHI WA HABARI MAPEMA LEO |
Akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam kaimu meneja wa mawasiliano kutoka TPA JANETH RUZANGI amesema kuwa hadi sasa meli 15 zipo baharini zikisubiri kupakuliwa huku bandari hiyo ikiwa imejaa kutokana na mizigo ambayo ingetakiwa kuondolewa na malori kutkuondolewa hapo.
Bi RUZANGI amesema kuwa kama hali itaendelea hivyo ya mgomo basi hali itakuwa mbaya sana kwa watumiaji wa mizigo hiyo na wamiliki wa meli hizo kwani wataanza kutozwa faini
No comments:
Post a Comment