Thursday, October 31, 2013

NBC YAJIPANGA KUBORESHA HUDUMA ZAKE

AFISA MAHUSIANO WA NBC EDDIE MHINA AKIMTAMBULISHA MKURUGENZI HUYO KWA WANAHABARI
        Benki ya NBC imeelezea dhamira yake ya kutaka kuwafurahusha wateja kwa huduma zake nzuri ikiwa ni pamoja na kuondoa kwero mbalimbali ambazo zinaikabili benki hiyo

          Akizungumza na wanahabari leo jijini dar es salaam katika benki hiyo wakati akifunga wiki ya huduma kwa mteja katika benki hiyo mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo MIZINGA MELU amesema kuwa wamejipanga kukuza na kupanua huduma zake kwa njia mbalimbali jambo litakalowafanya wadeja kuipenda na kuifurahia benki hiyo.

          Kuhusu swala la foleni kubwa katika benki hiyo ambalo limekuwa likilalamikiwa na wateja wengi mkurugenzi huyo amesema kuwa kwa sasa wameanzisha huduma ya mobile bank ambayo amesema kuwa inaweza kuwa ni suluhisho katika tatizo hilo
MKURUGENZI HUYO ALIPATA NAFASI YA KUZUNGUMZA NA WATEJA MBALIMBALI WALIOKUWA WANAPATA HUDUMA KATIKA BENK HIYO

UKIINGIA MLANGONI EWE MTEJA UNAKUTANA NA CHAI SAAFII



MKURUGENZI MTENDAJI WA BENK HIYO MIZINGA MELU AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI
WATEJA KARIBUNI



MKURUGENZI HUYO LEO ALIAMUA KUINGIA KAZINI NA KUWASIKILIZA WATEJA WAKE MWENYEWE

No comments: