Saturday, November 23, 2013

BREAKING NEWS.UKWELI WA UVUMI WA KUJIUZULU BAREGU CHADEMA NI HUU HAPA


Prof Mwesiga Baregu.


      Baada ya kusambaa uvumi kuwa mjumbe wa mabadiliko ya katiba kutoka chadema MWESIGWA BAREGU  amejiuzulu chama hicho kimekuja juu na kuwakemea wale wote wanaoeneza uvumi huo huku kikisema kuwa hajajiuzulu

Akizungumza na HABARI24 kwa njia ya simu msemaji wa CHADEMA,MAKENE amesema kuwa hakuna mjumbe mwinginw aliyejiuzulu katika chama hicho kama ilivyoelezwa na baadhi ya mitandao ya kijamii

Habari24 bl;og inaomba radhi kwa kucghapisha habari ambazo hazikuwa na ukweli wowote ila tunaendelea kufwatilia kujua ukweli.

No comments: