Wednesday, November 27, 2013

MAANDALIZI YA YA MAONESHO YA WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TCRA YANAENDELA VIWANJA VYA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM.

 Maandalizi yakiwa yanaendelea
 Baadhi ya makampuni yakiwa yanaendelea kujiweka sawa kwa ajili ya maonesho hayo  muhimu ya miaka 10 ya TCRA
 Banda la CDS Likiwa linaendelea kukamilika

 Banda la Startimes likiwa linaendelea kukamilika
 Kijana akiwa anaendelea kupamba baadhi ya mabanda hayo
 Kazi ya mapambo inaendelea

No comments: